SHIF to benefit Linda Mama and cover children of all ages

  • 2 months ago
President William Ruto on Friday said the Social Health Insurance Fund to benefit mothers under Linda Mama and to cover the healthcare of children under the age of eighteen years.
Transcript
00:00Tume kubaliana na huyu kangata wabarua, kwamba mambo ya matibabu i anze kwa kijiji.
00:07Kila kijiji iwe na community health promoter.
00:12Nyenye muna wana hawa watu wako na blue hapa?
00:15Hawa watu elfu mbili, tume kubaliana na kangata huyu.
00:19Kila kijiji, tue na muguzi.
00:22Na hawa, tume wapatia equipment ya kupima.
00:25Zamani, walikua hawa lipu kitujochote.
00:28Sukuhizi, tuna wapatia kitukidogo.
00:30Na tunataka kuapanga vizuri.
00:32Njotu wakikisha kwamba mambo ya afia i na anze kwa kijiji.
00:36Wa mama, mimi nataka munisikize vizuri.
00:39Kwa sababu, tunataka kupanga mambo ya wa mama hasa katika ile program ya Linda Mama.
00:44Mimi nataka ni wakishe.
00:46Linda Mama, tume ipanua sasa.
00:48Badala ya wewe kuenda ospitali mara sita, tume sema uende mara kumi.
00:53Bila ya kulis wa pesa.
00:55Tume sema ile pesa tuliko tunalipia watoto wa secondary school.
00:59Tume sema ata wa primary school.
01:01Wa ungezu hapon dani.
01:02Na ata wale watoto hawa jahenda shule.
01:05Wako five years and below.
01:06Tua ingize katika iyo program.
01:08Ndiyo kila mtoto wa Kenya.
01:10Mbaka afike miaka kumi na nani.
01:12Serekali ya Kenya ita kuwa inasimamiya matibabu ya watoto wetu wote.
01:18Mimi na wawaliza, Zamani.
01:20Munataka tusimamiya watoto wetu wote.
01:22Ama wachachi.
01:24Sikutoka yule hamezaliwa.
01:26Mbaka afike eighteen years.
01:28Tumepangie mambo ya matibabu.
01:30Nailipu ena serekali ya Kenya.
01:32Ebunyele wana nasakubali yo maneno.
01:37So, for the avoidance of doubt,
01:40I want to tell the people of Kenya,
01:42under our social health insurance program,
01:46all our children,
01:48beginning from antenatal,
01:51postnatal,
01:53wale wa kutoka mwaka moja mbaka mwaka tano,
01:56wale wa primary school wote,
01:58wale wa secondary school wote,
02:00mbaka wafike miaka kumi na nani,
02:03sasa wata kuwa matibabu yao inasimamiwa na serekali ya Kenya.
02:08So that we can prevent diseases,
02:11especially for children under five.
02:14Kwa sababu watoto wengi tuna wapoteza kati ya mwaka moja na miaka mitano.
02:20Pali hindi watoto wanasumbuwa sana na wagonjwa. Sinamunamuyo?
02:23So, tumesema iyo program yote,
02:25tutaweka katika mipango yetu,
02:27so that we can move the country forward.

Recommended