Tz, Ug Zasaini Mkataba Wa Ujenzi Wa Bomba La Usafirishaji Mafuta
Rais Wa Uganda Na Rais Wa Tanzania Washuhudia Utiaji Saini Wa Mkataba Wa Ujenzi Wa Bomba La Kusafirisha Mafuta Ghafi La Afrika Mashariki Baina Ya Tanzania Na Kampuni Moja Ya Mafuta Mjini Dar Es Salaam