Hospitali Ya Kenyatta Kuanza Kuhudumia Wagonjwa Warufaa Peke Yake

EbruTVKENYA
EbruTVKENYA
109 followers
3 years ago
Hospitali Ya Rufaa Ya Kenyatta Itafunga Milango Yake Kwa Wagonjwa Wote Isipokuwa Wale Wa Rufaa Ifikiapo Mwezi Julai Mwaka Huu. Hayo Ni Kulingana Na Mkurugenzi Mkuu Wa Halmashauri Ya Nms Mohammed Badi Anayedai Kuwa Hatua Hiyo Inapania Kupunguza Msongamano Wa Idadi Ya Wagonjwa Katika Hospitali Hiyo

Recommended