Oynatıcıya atlaAna içeriğe atlaAltbilgiye atla
  • 26.04.2016
Zaidi ya watu 70 usiku wa kuamkia leo mtaa wa kwa Rhoda kaunti ya Nakuru walilala nje kutokana na mafuriko yalioletwa na mvua zinazonyesha sehemu hio.

Önerilen