Alichosema Nondo Mara baada ya kupata Dhamana Leo
- 6 years ago
Mwanafunzi aliyedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana leo amepewa dhamana na Mahakama mkoani Iringa ambako kesi yake inasikilizwa.
Hii hapa kauli yake akifunguka mara baada a kupewa dhamani hiyo.
Hii hapa kauli yake akifunguka mara baada a kupewa dhamani hiyo.